Saturday, April 26, 2014

BEFORE I DIE SEHEMU YA 22

RIWAYA : BEFORE I DIE SEHEMU YA 22 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “baba Eddy mimi katu sintaweza kupiga magoti na kumuomba msamaha mtoto wa kumzaa mwenyewe.Innocent aliondoka nyumbani mwenyewe kwa kiburi kabisa na hata kifo cha huyo kahaba wake ni pigo toka kwa Mungu.Ka…” mama yake Inno akasema kwa ukali lakini kabla hajaendelea mbele zaidi Sarah aliyekuwa amekaa kiti cha nyuma akaingilia ka...

BLEEDING HEART SEHEMU YA 22

RIWAYA : BLEEDING HEART SEHEMU YA 22 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Joe are you still there?  “I’m here my love’ akajibu Joe huku akijifuta jasho.  “Niambie Joe ,ndoto hii inaweza kuwa ni kweli? Ni kweli siku moja utaondoka na kuniacha peke yangu? “ akauliza Swazi huku akilia na kumfanya Joe akae kimya   “Nijibu Joe..mbona umekaa kimya..? akaendelea kusisitiza Swazi.Joe akavuta pumzi ndefu na kuse...

TEN CHAPTERS SEHEMU YA 22

RIWAYA : TEN CHAPTERS SEHEMU YA 22 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA     Mara tu tulipofika nyumbani  tulikuta tayari kuna umati mkubwa wa watu. .Nje ya nyumba yetu kulikuwa na magari mengi hivyo Jimmy hakuweza kuliingiza gari lake ndani.Akalisimamisha nyuma ya magari mengine nikashuka.Nilishuka kwenye gari haraka haraka..nilionekana kama  vile nimechanganyikiwa.Akili yangu haikuwa ikifanya kazi sawa sawa.Nilitamani kulia lakini machozi hayakuwa yakitoka.Nikasikia vilio vya akina mama wakilia ndani ya nyumba.Miguu...

SERENA SEHEMU YA 22

RIWAYA : SERENA SEHEMU YA 22 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA Huku machozi yakimtoka Serena akamkumbatia Dr Jason kwa nguvu zaidi.             “Dr Jason I don’t know what I should say.I don’t know what to pay you.Hakuna kitu ninachoweza kukulipa kitakachozidi thamani ya hiki ulichokifanya..Dr J……..             “Shhhhhh…” Dr Jason akamkata kauli Serena ambaye alipatwa na furaha ya ajabu isiyo kifan...

Saturday, April 19, 2014

TEN CHAPTERS SEHEMU YA 17

RIWAYA : TEN CHAPTERS SEHEMU YA 17 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA   Lina akaitazama saa aliyoivaa katika mkono wake wa kulia Muda ulikuwa umekwenda sana.   " Du ! muda umekwenda sana na giza limeanza kuingia.Hii inamaanisha kwamba kesho nitalazimika kurejea tena sehemu hii ili kuendelea na simulizi yangu .Nataka nimalizie kusimulia ni jinsi gani nilijiingiza katika mapenzi na jinsi nilivyokutana na Jimmy ambaye mimi ninamuona ni kama shetani aliyevaa mwili wa binadamu halafu nitamalizia na nini kilinitokea katika sehemu hii siku...

SERENA SEHEMU YA 17

RIWAYA : SERENA SEHEMU YA 17 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA Ndugu zanguni sipendi kuwaficha kuwa mzee huyu ni mtu muhimu mno kwangu na siwezi kukubali mzee huyu auawe.Mzee huyu ugonjwa wake unatibika na nimekwishaiahidi familia yake kuwa nitafanya kila niwezalo kuhakikisha kuwa baba yao anapona.Ni kwa sababu hiyo ndiyo maana nimewaita ninyi wenzangu ninaowaamini mno ili muweze kushirikiana nami katika operesheni hi...

Friday, April 18, 2014

BEFORE I DIE SEHEMU YA 16

RIWAYA : BEFORE I DIE SEHEMU YA 16 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA  “ahsante sana dada latoya .Utakuwa umemsaidia sana Innocent” Sabrina na Grace wakasema kwa pamoja.               “Je kuna haja ya kuwataarifu wazazi wake kuhusiana na hili? Latoya akauliza             “dadaLatoya sidhani kama litakuwa ni jambo la busara kuwashirikisha wazazi wake kwa sababu toka mwanzo hawakuwa wamemkubali Marina kwa hiyo naamni hata...

BLEEDING HEART SEHEMU YA 16

RIWAYA : BLEEDING HEART SEHEMU YA 16 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA   “Paula kila kitu kinapangwa na Mungu.Lakini kwa hil la kutengana kwetu hatuwezi kumlaumu Mungu.Hili limetokea kwa sababu ya ujinga wangu.Sikutakiwa kufanya vile.Sikutakiwa kutengana nawe Wewe ni mtu wa pekee sana maishani mwangu.Thamani yako kwangu  hailinganishwi na kitu chochote kil...

TEN CHAPTERS SEHEMU YA 16

RIWAYA : TEN CHAPTERS SEHEMU YA 16 ILIPOSHIA SEHEMU ILIYOPITA  "Muda mwingi nimekuwa nikiwaza mambo ya ulimwengu huu na kusahau kitu kilichonileta hapa.Nilikuja mahala hapa kuanza kuandika simulizi yangu na nikishamaliza nitasema kwa sehemu hii heri kwa sababu sintapaona tena mahala hapa nilipopapenda mno wakati huo bado sijaufahamu ulimwengu ukoje.Jua linakaribia kuzama ngoja nianze kuandika simulizi yangu kabla ya giza kuingia.Nitaanzia siku ile maisha yangu yalipoanza kubadlika nikiwa hapa hapa katika mwamba huu."...

SERENA SEHEMU YA 16

RIWAYA : SERENA SEHEMU YA 16 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “Kwa hiyo kama operesheni hiyo itakuwa ijumaa usiku basi toka sasa inabidi tuanze kufanya maandalizi kwa ajili hiyo.Kila kitu kinatakiwa kiwe tayari mpaka kesho jioni.Mimi ngoja nikawapigie wakurugenzi niwataarifu kuwa tutaifanya operesheni hiyo Ijumaa usiku.Orodhesha pia vifaa vyote ambavyo unavihitaji katika operesheni hii ili vitafutwe haraka sana kabla ya siku ya kesho ...

Thursday, April 17, 2014

BEFORE I DIE SEHEMU YA 15

RIWAYA : BEFORE I DIE SEHEMU YA 15 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “dada Latoya nashindwa hata nikuelezee vipi kuhusu Innocent kwa sababu maelezo yake ni mengi sana.Naomba tukitoka hapa unikumbushe nitakueleza mambo mengi kuhusiana naye.Naogopa kuongea hapa mbele ya wazazi wake.Mama yake hatupendi sana mimi na Grace na ni yeye ndiye aliyesababisha Innocent aamue kuondoka pale nyumbani” Sabrina akasema kwa sauti ndogo.Ni wazi alikuwa akiwaogopa wazazi wa Innocen...

BLEEDING HEART SEHEMU YA 15

RIWAYA : BLEEDING HEART SEHEMU YA 15 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA  “Ahsante sana Paula.You’ll always be here in my heart.” Joe akasema huku akikishika kifua chake mahala unapokaa moyo.   “Tafadhali niruhusu nikusindikize hadi nje “ Joe akasema na Paula huku akaitabasamu akasema   “hakuna shida Joe ila nimekuja na usafiri wangu.” Paula akasema na kisha wakaanza kutembea kuelekea mahala yanakoegeshwa magar...

TEN CHAPTERS SEHEMU YA 15

RIWAYA : TEN CHAPTERS SEHEMU YA 15 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA  “ Nimefurahishwa sana na maendeleo mazuri ya wadogo zangu.Kila mmoja anajitegemea kwa sasa na wote wana mafanikio ya kutia moyo.Ni wakati wangu sasa na mimi kuitafuta furaha ya maisha yangu ambayo nimekuwa nikijharibu kuitafuta kwa miaka mingi bila mafanikio....

SERENA SEHEMU YA 15

RIWAYA : SERENA SEHEMU YA 15 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA Stella akamtazama tena kwa macho ya ukali yaliyoonyesha hasira ya wazi wazi.             “Jason do you love me? Akauliza Stella.Dr Jason akamtazama kwa makini usoni.             “Kwa nini unauliza hivyo wakati ukweli unaujua kuwa wewe ndiye pekee nikupendaye?             “Answer  Yes or No Jason.Do you real love me?”            ...

Wednesday, April 16, 2014

BEFORE I DIE SEHEMU YA 14

RIWAYA : BEFORE I DIE SEHEMU YA 14 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA Huku akitabasamu Innocent akapanda juu ya kile kitanda cha magurudumu halafu muuguzi akaanza kukisukuma na kutoka ndani ya kile chumba.Moja kwa moja akapelekwa hadi katika mlango wa chumba cha upasuaji.Mlango ukafunguliwa na akaingizwa ndani.Katika chumba cha kwanza ambacho hakikuwa na vitu vingi akatokea daktari mmoja ambaye akamtazama na kumwambi...

BLEEDING HEART SEHEMU YA 14

RIWAYA : BLEEDING HEART  SEHEMU YA 14 ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA   “Jambo la tatu ambalo nataka kukufahamisha ni kwamba kabla hatujakwenda Arusha kwa dhumuni la kuwaeleza wazazi kuhusu uhusiano wetu,nilikupa ahadi kwamba chochote kitakachokwenda kutokea huko mimi sintakuacha kamwe.Pamoja na mambo yote yaliyotokea na kusababisha tukatengana ,bado napenda kukuhakikishia kwamba ahadi niliyoiweka bado nitaitimiz...

TEN CHAPTERS SEHEMU YA 14

ILIPOISHIA SEHEMU ILIYOPITA “ Nimekwisha zoea kuteseka kwa miaka mingi na moyo wangu umekuwa sugu  lakini kwa hili limeniumiza kiasi cha kushindwa kuvumilia.Sitaki tena kuendelea kuumia kiasi hiki.Machozi haya ninayoyatoa hapa ni  ya mwisho na sitaki kulia tena.Maisha yangu ya Arusha yanakamilisha sura ya kumi nay a mwisho ya kitabu cha maisha yangu sura ambayo nimelia tena machozi.Ninakwenda kukifunga kitabu cha maisha yangu na ninaapa sintalia tena.” Akawaza Naomi halafu akachungulia nje walikuwa wanakipita kijiji kimo...

Followers

 

BONYEZA "LIKE" NA UJIUNGE NASI MOJA KWA MOJA KWA SIMULIZI MPYA KILA SIKU

Powered By masimulizi