“Kwa hiyo kama operesheni hiyo
itakuwa ijumaa usiku basi toka sasa inabidi tuanze kufanya maandalizi kwa ajili
hiyo.Kila kitu kinatakiwa kiwe tayari mpaka kesho jioni.Mimi ngoja nikawapigie
wakurugenzi niwataarifu kuwa tutaifanya operesheni hiyo Ijumaa usiku.Orodhesha
pia vifaa vyote ambavyo unavihitaji katika operesheni hii ili vitafutwe haraka
sana kabla ya siku ya kesho .”
0 comments:
Post a Comment