“Jambo
la tatu ambalo nataka kukufahamisha ni kwamba kabla hatujakwenda Arusha kwa
dhumuni la kuwaeleza wazazi kuhusu uhusiano wetu,nilikupa ahadi kwamba chochote
kitakachokwenda kutokea huko mimi sintakuacha kamwe.Pamoja na mambo yote
yaliyotokea na kusababisha tukatengana ,bado napenda kukuhakikishia kwamba
ahadi niliyoiweka bado nitaitimiza.
Joe ulikuwa ni mwanaume wa kwanza kukupenda na siku zote niliamini wewe ndiye malaika wangu.Hata baada ya kuachana nawe bado umeendelea kuwa mtu muhimu sana katika maisha yangu ambaye sina wa kumlinganisha naye sasa na maisha yote.Ninapenda kukufahamisha kwamba kwa kuwa wewe ndiye uliyekuwa mwanaume wa pekee kabisa maishani mwangu na kwa sasa hauko nami tena sina sababu yoyote ya kutafuta mwanaume mwingine kwa sababu sintaweza kumpata mwingine kama wewe.Kwa maana hiyo nimeamua kwa hiari yangu kujiunga na shirika la masista wa Mtakatifu Anna.Nimeamua kuwa mtawa na kuyatoa maisha yangu kwa bwana.Nitamtumikia yeye peke yake.Wiki ijayo nitaingia katika konventi ya shirika na kuanza mafunzo na baada ya miaka miwili nitafunga nadhiri yangu ya kwanza.” Paula akasema huku akitabasamu.
Joe ulikuwa ni mwanaume wa kwanza kukupenda na siku zote niliamini wewe ndiye malaika wangu.Hata baada ya kuachana nawe bado umeendelea kuwa mtu muhimu sana katika maisha yangu ambaye sina wa kumlinganisha naye sasa na maisha yote.Ninapenda kukufahamisha kwamba kwa kuwa wewe ndiye uliyekuwa mwanaume wa pekee kabisa maishani mwangu na kwa sasa hauko nami tena sina sababu yoyote ya kutafuta mwanaume mwingine kwa sababu sintaweza kumpata mwingine kama wewe.Kwa maana hiyo nimeamua kwa hiari yangu kujiunga na shirika la masista wa Mtakatifu Anna.Nimeamua kuwa mtawa na kuyatoa maisha yangu kwa bwana.Nitamtumikia yeye peke yake.Wiki ijayo nitaingia katika konventi ya shirika na kuanza mafunzo na baada ya miaka miwili nitafunga nadhiri yangu ya kwanza.” Paula akasema huku akitabasamu.

Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com