Thursday, April 3, 2014

SERENA SEHEMU YA 3




Nilikuwa na wasi wasi sana kuhusu kuruhusiwa kwenda huko kwa sababu mimi huwa siruhusiwi kuwa nje ya nyumba baada ya saa kumi na mbili jioni labda nikiwa na Ray.Kwa vile wewe utakuwepo itabidi twende wote ili iwe  rahisi mimi kuruhusiwa kwenda.Huko ndiko utakapomuona Serena.”





            “Ok Nange nitakupigia tukifika Dar” akasema Serena



0 comments:

Post a Comment

Followers

 

BONYEZA "LIKE" NA UJIUNGE NASI MOJA KWA MOJA KWA SIMULIZI MPYA KILA SIKU

Powered By masimulizi