Makofi
na vigele gele vikasikika katika kila kona ya ukumbi.Watu waimshangilia
Innocent kwa maneno machache aliyoyatoa.Sherehe zikaendelea hadi usiku mwingi
halafu watu wakatawanyika na kurudi majumbani kwao.
Wednesday, April 2, 2014
" BEFORE I DIE" SEHEMU YA 2
Posted by
pettysean.blogspot.com
at
Wednesday, April 02, 2014
PATRICK.C.K
Mwandishi wa simulizi za kuburudisha na kusisimua.
nimejikuta natokwa na machozi cjui kwa nn binadamu wengine tuko hivyo kuwanyanyapaa binadamu wenzetu
ReplyDelete