Saturday, April 5, 2014

" BEFORE I DIE " SEHEMU YA 5





RIWAYA : " BEFORE I DIE "
SEHEMU YA 5
Joshua una watoto watatu kama ulivyonieleza na wote hao wanahitaji matunzo bora,elimu bora ambayo itawajengea msingi bora wa maisha yao.Watoto na familia yako wanahitaji kukaa katika nyumba nzuri na si ile unayoishi sasa.Yote haya yanaweza kufanyika iwapo utaachana na pombe.Kwa hiyo naomba uniahidi kama utaachana na pombe ili nione ni jinsi gani ya kuweza kukusaidia kwanza kupata nyumba bora na baadae kukuinua kiuchumi.”






            “Sasa uncle kama ulikuwa huna mpango na mimi umenileta huku kufanya nini? Si ungeniacha basi pale kijiweni manake leo nilikuwa na mteja wangu wa kiarabu alikuwa aje kunichukua saa sita usiku halafu yeye analipa kwa dola.Kama huna mpango na mimi tufanye basi fasta fasta halafu nijikatae nikacheki mpango mwingine. “ Marina akasema huku akikivua kinguo chake cha juu na kubaki kifua wazi.Innocent anapatwa na mstuko wa ghafla  kwa kuziona chuchu zile zilizosimama




0 comments:

Post a Comment

Followers

 

BONYEZA "LIKE" NA UJIUNGE NASI MOJA KWA MOJA KWA SIMULIZI MPYA KILA SIKU

Powered By masimulizi