lakini yawezekana pia ukawa haujaathirika.Kama itakuwa hivyo tutaimba kwa furaha na kumtolea Mungu sadaka na utayaanza maisha mapya.Je uko tayari kwenda kupima na kuhakiki afya yako kesho?
“hapana Bosi majibu yake sijayaona.”
Juma akajibu na kumfanya Innocent ainame na kutafakari kwa kina
“kaka
Innocent umekuja? Siamini kaka yangu.Walikwambia nimepoteza fahamu? Grace
akasema huku akilia.
“Juma
alinipigia simu na kuniambia kuwa ulipatwa na mstuko ukapoteza fahamu.Kulikuwa
na tatizo gani?
mama mkatili sana huyo hata kumpongeza
ReplyDelete