“Bado
siamini kama mtu ninayeheshimika kama mimi nimedhalilishwa na
machangudoa.Wamenichukulia kila kitu nilichokuwa nacho.Kama si kwa jitihada za
mjumbe wangefanikiwa kunibaka wale wanaharamu.I hate them so much.Halafu Marina
naye alikuwa yuko radhi kuona nikiaibishwa .Hakuwa akijali chochote.Na hata
alipoulizwa kama ni kweli nililala naye na kumdhulumu fedha zake alikubali kuwa
ni kweli …Masikini pamoja na wema wangu wote na kuonyesha kila dalili za kutaka
kumsaidia lakini bado hakuonyesha jitihada zozote za kuukubali msaada
wangu.
Aliipata bahati ambayo wenzake wanaitafuta usiku na mchana lakini yeye ameichezea na kuitupa mbali….Masikini mtoto mdogo kama yule anaangamia hivi hivi.Mtoto mzuri mwenye umbo safi na zuri anapotea hivi hivi jamii ikimuona…..Anyway sina namna nyingine ya kuweza kumsaidia.Kwa vile yeye mwenyewe ameonyesha hataki mabadiliko katika maisha yake na mimi sina budi kuachana naye.” Innocent akawaza akiwa kitandani kwake usingizi ukamchukua akalala.
Aliipata bahati ambayo wenzake wanaitafuta usiku na mchana lakini yeye ameichezea na kuitupa mbali….Masikini mtoto mdogo kama yule anaangamia hivi hivi.Mtoto mzuri mwenye umbo safi na zuri anapotea hivi hivi jamii ikimuona…..Anyway sina namna nyingine ya kuweza kumsaidia.Kwa vile yeye mwenyewe ameonyesha hataki mabadiliko katika maisha yake na mimi sina budi kuachana naye.” Innocent akawaza akiwa kitandani kwake usingizi ukamchukua akalala.
0 comments:
Post a Comment